Hali ni ya wasiwasi kufuatia mauaji ya watu kadhaa
katika wilaya ya Kiteto nchini Tanzania baada ya
wafugaji na wakulima kushambuliana na kuwajeruhi
zaidi ya watu 10. Kulingana na Kamanda wa jeshi la
polisi katika mkoa wa Manyara Deusdedit Nsimeki
hadi sasa wamewakamata watu watano
wanaoshukiwa kuchochea mgogoro huo huku
uchunguzi zaidi ukifanyika.
welcome to ernestseko.blogspot.com This blogspot has been established in order to help you to meet with what you want in this world of science & technology This is belong to ERNEST SEKO CONTACT 0767056452 {e-mail;theseko8@gmail.com} ernestseko1992 on instagram
Alhamisi, 13 Novemba 2014
NEWZ!!!! MAUJI YATOKEA KITETO
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni