theseko™
welcome to ernestseko.blogspot.com This blogspot has been established in order to help you to meet with what you want in this world of science & technology This is belong to ERNEST SEKO CONTACT 0767056452 {e-mail;theseko8@gmail.com} ernestseko1992 on instagram
Jumatano, 20 Mei 2015
Alhamisi, 14 Mei 2015
Jumamosi, 18 Aprili 2015
ALICHOKISEMA ZITTO KUHUSU GAZETI LA TAIFA IMARA
Katika gazeti la Taifa Imara la tarehe 23 Machi 2015 kulikuwa na habari yenye kichwa cha maneno ' Zitto amchongea Mengi kwa JK?' Habari hiyo ilibeba maudhui ya 'post' iliyoandikwa katika mtandao wa Mwanahalisi online.
Habari hiyo inaonyesha kuwa Mimi nilikutana na Rais kwa msaada wa watu mbalimbali na katika kikao hicho inadaiwa nilisema kuwa Mengi ndiye aliyechochea wabunge kuishughikia Serikali ya Rais Kikwete ili ianguke.
Ni vema ifahamike kuwa gazeti la Taifa Imara linamilikiwa na Bwana James Rugemalira wa kashfa ya Escrow na kuendeshwa na Bwana Prince Bagenda aliye organise press conference ya mmoja wa mawaziri waliofukuzwa kazi kwa kashfa hiyo. Vile vile chanzo cha habari hiyo ni mtandao wa mwanahalisi online ambao unaendeshwa mmiliki wa Mawio gazeti ambalo kila wiki lina habari za kutunga dhidi yangu na chama cha ACT Wazalendo.
Habari hiyo ni ya kutunga yenye fitna zenye lengo la kuchonganisha watu. Naomba kufafanua ifuatavyo
1 Taarifa Maalumu ya Kamati ya PAC kuhusu ufisadi wa tshs 306 bilioni za Escrow hauhusiki na Bwana Reginald Mengi kwa namna yeyote ile. Mengi sio mbunge, sio mjumbe wa PAC na hakushawishi PAC kwa namna yeyote ile. Wezi wa Escrow wasitapetape kutafuta mchawi wakati mchawi ni wizi wao wenyewe. Porojo za kwamba Mengi alihonga wabunge ili kuishughulikia Serikali zinabaki porojo tu. Ila kama kuna mtu ana chembe ya ushahidi wa jambo hilo apeleke kwenye vyombo vya dola kwa hatua kuliko kurudia rudia porojo hizo kwenye vyombo vya habari.
2 Sihitaji kutumia watu ili kukutana na Rais Jakaya Kikwete kwani ninaweza kukutana naye kwa taratibu za kawaida kabisa za kiserikali. Hadithi ya kwamba nimeomba watu wanikutanishe na Rais inaonyesha namna mwandishi alivyoshindwa kutunga uongo wake. Katika kukutana kwangu na Rais kikazi sijawahi hata mara moja kuzungumzia watu. Hivyo kusema nilikwenda Ikulu kumzungumzia Bwana Mengi ni kunidharau na kuidhalilisha Taasisi ya Urais.
3 Nimemwelekeza mwanasheria wangu achukue hatua za kisheria dhidi ya Gazeti la Taifa Imara na vilevile Gazeti la Mawio kwa mfululizo wa habari za kutunga uongo dhidi yangu kila kukicha. Nimeagiza tupeleke mashtaka kwenda Baraza la Habari Tanzania ili magazeti hayo yathibitishe habari zao.
Zitto Kabwe
Kiongozi wa ACT Wazalendo
Alhamisi, 9 Aprili 2015
This is a list of Universities and University
Colleges in Tanzania . The country has 26
universities (10 public and 16 private) and 15
University Colleges (4 public and 11 private). [1]
Universities and University Colleges are
regulated by the Tanzania Commission for
Universities.
Public Universities
Reg.
No. Institution Acronym Founded Universit
status
001 University
of Dar es
Salaam
UDSM 1961 1970
002
Sokoine
University
of
Agriculture
SUA 1965 1984
003 The Open
University
of
Tanzania
OUT 1992 1992
004 Ardhi
University AU 1956 2007
010 State
University
of Zanzibar
SUZA 1999 1999
011 Mzumbe
University MU 1975 2001
015
Muhimbili
University
of Health
and Allied
Sciences
MUHAS 1963 2007
016
Nelson
Mandela
African
Institute of
Science
and
Technology
NM–
AIST 2009 2010
019 University
of Dodoma UDOM 2007 2007
025
Katavi
University
of
Agriculture
KUA
026
Mbeya
University
of Science
and
Technology
MUST 1986 2012/13
Private Universities
Reg.
No. Institution Acronym Founded Affiliati
005
Hubert
Kairuki
Memorial
University HKMU 1997 MMHE
006
International
Medical and
Technological
University IMTU 1997 VEF
007
Tumaini
University
Makumira TUMA 1997 Luther
008 St. Augustine
University of
Tanzania
SAUT 2002 Catholi
009 Zanzibar
University ZU 2002 Islamic
012 Mount Meru
University MMU 2005 Baptist
013 University of
Arusha UoA 2006
Sevent
day
Advent
014 Teofilo
Kisanji
University
TEKU 2007 Moravi
017 Muslim
University of
Morogoro
MUM 2004 Islamic
018
St. John's
University of
Tanzania SJUT 2007 Anglica
020 University of
Bagamoyo UB 2010
TANLE
and
LHRC
021
Eckernforde
Tanga
University
ETU 2010
022
Catholic
University of
Health and
Allied
Sciences
CUHAS 1994 Catholi
023
St. Joseph
University In
Tanzania SJUIT 2011 Catholi
024
United
African
University of
Tanzania
UAUT 2012
Korea
Church
Missio
027
Sebastian
Kolowa
Memorial
University
SEKOMU 2012 Luther
028 Tanzania
International
University
TIU
Public University Colleges
Reg.
No. Institution Acronym Founded Regio
001
University
College of
Education
Zanzibar UCEZ 1999 Zanzib
Urban
002
Dar es
Salaam
University
College of
Education
DUCE 2005 Dar es
Salaam
003
Moshi
University
College of
Cooperative
and
Business
Studies
MUCCOBS 2003 Kiliman
004
Mkwawa
University
College of
Education
MUCE 2003 Iringa
Private University Colleges
Reg.
No. Institution Acronym Founded Re
005
Kampala
International
University
Dar es
Salaam
College
KIU-DAR 2008 Dar
Sala
006 Mwenge
University
College of
Education
MWUCE 2003 Kili
007 Kilimanjaro
Christian
Medical
College
KCMCo 2003 Kili
008
Ruaha
University
College
RUCO 2006 Iring
009
St. Francis
University
College of
Health and
Allied
Sciences
SFUCHAS 2010 Mor
010
St. Joseph
University
College of
Agricultural
Sciences
and
Technology
SJUCAST 2000 Ruv
011
St. Joseph
University
College of
Information
and
Technology
SJUCIT 2000 Ruv
012
St. Joseph
University
College of
Management
and
Commerce
SJUCMC 2000 Njo
013
Stefano
Moshi
Memorial
University
College
SMMUCO 2002 Kili
016
Stella Maris
Mtwara
University
College STEMMUCO 2009 Mtw
015
Tumaini
University
Dar es
Salaam
College
STURDACO 2005 Dar
Sala
See also
Jumapili, 22 Machi 2015
: Zitto Kabwe atua rasmi ACT, Apokewa kwa shangwe
Zitto Kabwe atua rasmi ACT, Apokewa kwa shangwe: Zitto Kabwe akionyesha kadi ya uanachama ya Alliance for Change and Transparency (ACT) mara baada ya kukabidhiwa na kujiunga rasmi jana. Ak...
Jumapili, 8 Machi 2015
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)