Jumapili, 26 Oktoba 2014

VYAMA VINAVYOUNDA UKAWA VYASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO

vyama vya siasa vinavyounda UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI(UKAWA)yaani CUF,CHADEMA,NCCR-Mageuzi,TLP na vingine vimesaini mkataba wa makubaliano katika uwanja wa jwngwani hapa jijini DAR ES SALAAM ambapo mamia ya wanachama wa vyama hivyo walishuhudia

stori by ERNEST RENATUS

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni