Mwanamuziki Mkongwe kutoka bendi ya muziki wa
dansi ya Twanga Pepeta,pichani kulia enzi za uhai
wake akiwa kazini,ajulikanae kwa jina la Amigolas
amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo,katika
hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar.
Taarifa za awali ambazo chumba cha habari cha
Globu ya Jamii imezipata kutoka kwa vyanzo vya
kuaminika,zinaeleza kuwa Marehemu Amigolas
alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Moyo mpaka
kufariki kwake.
Tutaendelea kupeana taarifa zaidi kuhusiana na
msiba huu kwa...
welcome to ernestseko.blogspot.com This blogspot has been established in order to help you to meet with what you want in this world of science & technology This is belong to ERNEST SEKO CONTACT 0767056452 {e-mail;theseko8@gmail.com} ernestseko1992 on instagram
Jumapili, 9 Novemba 2014
MSIBA WA MWANAMZIKI WA TWANGA PEPETA
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni